Posts

Mbinu Ya Kufanikisha 'Athari Ya Mzunguko'

Image
Mbinu Ya Kufanikisha 'Athari Ya Mzunguko' anaume ambao wanataka kujua jinsi ya kumsisimua mwanamke kwa kutumia maneno huwa wanatafuta mstari mmoja ambao utafanya kazi kama hirizi ili kumpandisha mzuka mwanamke yeyote. Lakini utafutaji wa mstari huu si jambo lisilowezekana pekee (mistari hii haipo) bali pia ni vigumu kutumika. Ok. kawaida inakuwa hivi, kuna mbinu tofauti tofauti za kumsisimua mwanamke kwa kutumia matamshi. Kwa kuielewa mitindo na sehemu tofauti tofauti ambazo zinaonekana kiurahisi, unaweza kumpata mwanamke na kumsisimua kuliko mstari wowote ule ambao ushawahi kutumika. Na kwa kulizungumzia swala hili, tumekuja na mbinu ambayo utaitumia kumfanya mwanamke asisimkwe na wewe hata bila ya yeye kupata nafasi ya kufikiria iwapo anakupenda au la. Mbinu hii tumeipa jina 'Athari ya Mzunguko' [Soma utanguliza wa chapisho hili  HAPA ] Zama nami... So tutafanyaje mpaka mwanamke aathirike na 'Athari ya Mzunguko'? Kama paneli ya Nesi Mapenzi, tumeandaa ha...

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Ahisi Wewe Ni Mwanaume Wa Ndoto Yake

Image
Ushawahi kupatikana katika hii hali? Umeona demu mzuri ukaamua kumuapproach. Ukamtongoza kwa siku kadhaa na bila kusumbuka akakukubali. Baada ya wiki au mwezi mambo yakajeuka akakukataa. Ukaona labda haikuwa bahati yako so ukatongoza demu mwengine mrembo. Naye akakukubali lakini baada ya wiki akakukataa. Mtindo ukawa ni huo huo, kila ukitongoza demu baada ya masiku au wiki anakukataa bila sababu za wewe kuelewa. Je, kuna tatizo? Je mbinu unazozitumia kuapproach mwanamke kama huyu hazifai ama unacheza gemu yako vibaya. Katika ukurasa wetu wa Facebook kuna msomaji wa N.M Blog alikuwa na wasiwasi wa kuwa anawatongoza mademu wazuri lakini anashindwa kuwamudu. Hivi ndivyo alivyotutumia ujumbe wake:  Hello Nesi Mapenzi. Mimi nina bahati ya mademu  beautiful lakini penzi langu na wao hudumu muda mfupu sana. Inafikia mahali huwa natoswa na wananikataa. So nifanyeje? Naomba ushauri [imehakikiwa]    -Naseeb Ok, jambo la kwanza ni kuwa nampongeza Naseeb kwa kuwa ana uwezo wa...